300. BWANA MUNGU NASHANGAA
Bwana Mungu nashangaa kabisa,
Nikifikiri jinsi vilivyo, Nyota ngurumo,
Vitu vyote pia viumbwavyo kwa uwezo wako.
Roho yangu na ikuimbie, Jinsi wewe
ulivyo mkuu. Roho yangu na ikuimbie,
Jinsi wewe ulivyo Mkuu.
Nikitembea pote duniani,
Ndege huimba nawasikia.
Milima hupendeza macho sana,
Upepo nao wafurahia.
Comments
Post a Comment