300. BWANA MUNGU NASHANGAA

Bwana Mungu nashangaa kabisa,

Nikifikiri jinsi vilivyo, Nyota  ngurumo,

Vitu vyote pia viumbwavyo kwa uwezo wako.


Roho yangu na ikuimbie, Jinsi wewe

ulivyo mkuu. Roho yangu na ikuimbie,

Jinsi wewe ulivyo Mkuu.


Nikitembea pote duniani,

Ndege huimba nawasikia.

Milima hupendeza macho sana,

Upepo nao wafurahia.


Comments

Popular posts from this blog

264. TWENDENI, WAKRISTO

267. BABA NAKUOMBA

263. ENYI KANISA LA MUNGU