288. TUNAMTIA MIKONONI MWAKO


Tunamtia mikononi mwako Mtoto huyu ili,

Atunzwe, Na kila siku kwa neema yako,

Bwana Yesu Kristo, umbariki!


Ulimwengu kuna majaribu, mahali

Pote kuna mitego, Lakini uwe Mchungaji

wake, Na umwongoze, Ee Rafiki Mwema.


Yesu umhifadhi kwa upendo, Asije

Akashindwa njiani, Na umlinde kwa

Rehema yako, Apate kuwa wako siku zote.


Utume nuru ya neema kwako, Na maji

Hai kutoka kwako, Ee Bwana Yesu

Twaku-omba leo: "Umlinde mwana wetu Salama!"

Comments

Popular posts from this blog

264. TWENDENI, WAKRISTO

267. BABA NAKUOMBA

263. ENYI KANISA LA MUNGU