285. SOMA BIBLIA
Soma Biblia, chuo cha wokovu, Tulichopewa
na Mungu Baba. Biblia inatuambia kweli:
Njoo kwa Yesu Mwokozi wetu!
Chunguza neno tulilopewa, Linatuonyesha
njia ya kweli, Nuru gizani ya kutuongoza
Katika mwendo kwenda Mbinguni.
Soma Biblia, giza linakuja Kama
walivyosema manabii. Biblia yetu
yatuangazia Kutuonya njia hata mwisho.
Katika neno la Biblia yetu Tunapewa
utajiri wote. Mbingu na nchi
zitaangamia, Neno la Mungu halitapita.
Comments
Post a Comment