271. NINASHIKWA NA KIU



Ninashikwa na kiu, Bwana, unipe maji,

maji ya uhai ndani ya maisha yangu.


:/: Bwana, Bwana Yesu Mfalme wangu!:/:


Moyo wangu wakupenda, Bwana Mungu wangu.

Nitakuja lini kwako, Bwana Mfalme wangu?


Mchana na usiku Bwana nakulilia. Watu

Wasema "Mungu wako yuko wap?"


Huzuni moyoni mwangu, Bwana Mungu wangu.

Watu wengi  wadharau, Mungu 'wasamehe!


Twashikakama pamoja kwenda juu mbinguni.

Twashukuru, twafurahi kushirikiana.


Mwokozi, nguvu zaishaje moyoni mwangu?

Unisaidie Bwana, nitakushukuru.

Comments

Popular posts from this blog

264. TWENDENI, WAKRISTO

267. BABA NAKUOMBA

263. ENYI KANISA LA MUNGU